×

Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye kumbushwa kwa Ishara za 32:22 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:22) ayat 22 in Swahili

32:22 Surah As-Sajdah ayat 22 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 22 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿وَمَنۡ أَظۡلَمُ مِمَّن ذُكِّرَ بِـَٔايَٰتِ رَبِّهِۦ ثُمَّ أَعۡرَضَ عَنۡهَآۚ إِنَّا مِنَ ٱلۡمُجۡرِمِينَ مُنتَقِمُونَ ﴾
[السَّجدة: 22]

Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye kumbushwa kwa Ishara za Mola wake Mlezi, kisha akazikataa? Hakika Sisi tutajilipiza kwa wakosefu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن أظلم ممن ذكر بآيات ربه ثم أعرض عنها إنا من المجرمين, باللغة السواحيلية

﴿ومن أظلم ممن ذكر بآيات ربه ثم أعرض عنها إنا من المجرمين﴾ [السَّجدة: 22]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakuna hata mmoja aliye dhalimu zaidi wa nafsi yake kuliko yule aliyekumbushwa dalili za Mwenyezi Mungu kisha akazipa mgongo zote, asiwaidhike kwa mawaidha yake, bali akayafanyia kiburi. Hakika sisi ni wenye kuwatesa wale wahalifu waliozipa mgongo aya za Mwenyezi Mungu na hoja Zake na wasinufaike nazo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek