×

Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako 32:3 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:3) ayat 3 in Swahili

32:3 Surah As-Sajdah ayat 3 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 3 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿أَمۡ يَقُولُونَ ٱفۡتَرَىٰهُۚ بَلۡ هُوَ ٱلۡحَقُّ مِن رَّبِّكَ لِتُنذِرَ قَوۡمٗا مَّآ أَتَىٰهُم مِّن نَّذِيرٖ مِّن قَبۡلِكَ لَعَلَّهُمۡ يَهۡتَدُونَ ﴾
[السَّجدة: 3]

Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye watu wasio fikiwa na mwonyaji kabla yako; huenda wakaongoka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أم يقولون افتراه بل هو الحق من ربك لتنذر قوما ما أتاهم, باللغة السواحيلية

﴿أم يقولون افتراه بل هو الحق من ربك لتنذر قوما ما أتاهم﴾ [السَّجدة: 3]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwani je, wanasema washirikina kuwa Muhammad Ameizua Qur’ani? Wamesema urongo, bali hiyo Qur’ani ndiyo ukweli uliothibiti ulioteremshwa kwako, ewe Mtume, kutoka kwa Mola wako, ili uwaonye nayo watu ambao hawakujiwa na muonyaji kabla yako wewe, huenda wao wakaongoka: wakaijua haki, wakaiamini, wakaitanguliza na wakakuamini wewe
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek