×

Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa 33:61 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahzab ⮕ (33:61) ayat 61 in Swahili

33:61 Surah Al-Ahzab ayat 61 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahzab ayat 61 - الأحزَاب - Page - Juz 22

﴿مَّلۡعُونِينَۖ أَيۡنَمَا ثُقِفُوٓاْ أُخِذُواْ وَقُتِّلُواْ تَقۡتِيلٗا ﴾
[الأحزَاب: 61]

Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ملعونين أينما ثقفوا أخذوا وقتلوا تقتيلا, باللغة السواحيلية

﴿ملعونين أينما ثقفوا أخذوا وقتلوا تقتيلا﴾ [الأحزَاب: 61]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hali ya kuwa wamefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu; mahali popote watakapopatikana watekwe na wawe ni wenye kuuawa muda wa kuendelea kwao katika unafiki na kueneza habari za urongo baina ya Waislamu kwa lengo la kuleta fitina na uharibifu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek