×

Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. 35:38 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah FaTir ⮕ (35:38) ayat 38 in Swahili

35:38 Surah FaTir ayat 38 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah FaTir ayat 38 - فَاطِر - Page - Juz 22

﴿إِنَّ ٱللَّهَ عَٰلِمُ غَيۡبِ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ إِنَّهُۥ عَلِيمُۢ بِذَاتِ ٱلصُّدُورِ ﴾
[فَاطِر: 38]

Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni Mjuzi wa yaliomo vifuani

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الله عالم غيب السموات والأرض إنه عليم بذات الصدور, باللغة السواحيلية

﴿إن الله عالم غيب السموات والأرض إنه عليم بذات الصدور﴾ [فَاطِر: 38]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwa hakika Mwenyezi Mungu Anakiona kila kisichoonekana mbinguni na ardhini, na kwa hakika Yeye ni Mjuzi mno wa vilivyofichamana nyoyoni. Basi muogopeni Asiwaone mkiwa mko katika hali ya kudhamiria shaka au ushirikina katika kumpwekeshaYeye au juu ya unabii wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani ziwashukie, au muende kinyume na amri Yake katika mambo madogo ya hayo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek