Quran with Swahili translation - Surah As-saffat ayat 53 - الصَّافَات - Page - Juz 23
﴿أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَدِينُونَ ﴾
[الصَّافَات: 53]
﴿أئذا متنا وكنا ترابا وعظاما أئنا لمدينون﴾ [الصَّافَات: 53]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Je, tunapokufa, tukakatika vipande- vipande na tukawa mchanga na mifupa, kwani ni wenye kufufuliwa, kuhesabiwa na kulipwa kwa matendo yetu?’» |