×

Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? 38:10 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:10) ayat 10 in Swahili

38:10 Surah sad ayat 10 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 10 - صٓ - Page - Juz 23

﴿أَمۡ لَهُم مُّلۡكُ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَيۡنَهُمَاۖ فَلۡيَرۡتَقُواْ فِي ٱلۡأَسۡبَٰبِ ﴾
[صٓ: 10]

Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi nawazipande njia za kwendea huko

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أم لهم ملك السموات والأرض وما بينهما فليرتقوا في الأسباب, باللغة السواحيلية

﴿أم لهم ملك السموات والأرض وما بينهما فليرتقوا في الأسباب﴾ [صٓ: 10]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Au kwani washirikina hawa wana mamlaka ya mbinguni na ardhini na vilivyoko baina ya viwili hivyo, hivyo basi wakatoa na kuzuia? Basi wazishikilie kamba zenye kuwafikisha mbinguni wapate kutoa uamuzi wanaoutaka wa kutoa na kuzuia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek