×

Hakika huyu ndugu yangu ana kondoo wa kike tisiini na tisa; na 38:23 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:23) ayat 23 in Swahili

38:23 Surah sad ayat 23 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 23 - صٓ - Page - Juz 23

﴿إِنَّ هَٰذَآ أَخِي لَهُۥ تِسۡعٞ وَتِسۡعُونَ نَعۡجَةٗ وَلِيَ نَعۡجَةٞ وَٰحِدَةٞ فَقَالَ أَكۡفِلۡنِيهَا وَعَزَّنِي فِي ٱلۡخِطَابِ ﴾
[صٓ: 23]

Hakika huyu ndugu yangu ana kondoo wa kike tisiini na tisa; na mimi ninaye kondoo mke mmoja. Akasema: Nipe huyo nikufugie! Na amenishinda kwa maneno

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن هذا أخي له تسع وتسعون نعجة ولي نعجة واحدة فقال أكفلنيها, باللغة السواحيلية

﴿إن هذا أخي له تسع وتسعون نعجة ولي نعجة واحدة فقال أكفلنيها﴾ [صٓ: 23]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mmoja wa wale wawili alisema, «Huyu ni ndugu yangu; ana kondoo tisini na tisa na mimi sina isipokuwa kondoo mmoja, akafanya tamaa kumtaka na akasema, ‘Nipe mimi!’ Na akanishinda kwa hoja.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek