×

Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele, lakini wakati wa kuokoka 38:3 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:3) ayat 3 in Swahili

38:3 Surah sad ayat 3 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 3 - صٓ - Page - Juz 23

﴿كَمۡ أَهۡلَكۡنَا مِن قَبۡلِهِم مِّن قَرۡنٖ فَنَادَواْ وَّلَاتَ حِينَ مَنَاصٖ ﴾
[صٓ: 3]

Mataifa mangapi tumeyaangamiza kabla yao, na wakapiga kelele, lakini wakati wa kuokoka ulikwisha pita

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كم أهلكنا من قبلهم من قرن فنادوا ولات حين مناص, باللغة السواحيلية

﴿كم أهلكنا من قبلهم من قرن فنادوا ولات حين مناص﴾ [صٓ: 3]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kuna ummah wengi tuliowaangamiza kabla ya hawa washirikina, wakaomba waokolewe na wakaita kutaka toba, na wakati si wakati wa kukubaliwa toba wala wakati wa kukimbia na kuokolewa na yaliyowapata
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek