×

Na tulimtia mtihanini Suleiman, na tukauweka mwili juu ya kiti chake, kisha 38:34 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:34) ayat 34 in Swahili

38:34 Surah sad ayat 34 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 34 - صٓ - Page - Juz 23

﴿وَلَقَدۡ فَتَنَّا سُلَيۡمَٰنَ وَأَلۡقَيۡنَا عَلَىٰ كُرۡسِيِّهِۦ جَسَدٗا ثُمَّ أَنَابَ ﴾
[صٓ: 34]

Na tulimtia mtihanini Suleiman, na tukauweka mwili juu ya kiti chake, kisha akarejea kwa kutubu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد فتنا سليمان وألقينا على كرسيه جسدا ثم أناب, باللغة السواحيلية

﴿ولقد فتنا سليمان وألقينا على كرسيه جسدا ثم أناب﴾ [صٓ: 34]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika tulimpa mtihani Sulaymān na tukamrushia kwenye kiti chake kipande cha mtoto aliyezaliwa katika kipindi alichoapa kuwa atawapitia wake zake na kila mmoja katika wao atamzalia shujaa atakayepigana katika njia ya Mwenyezi Mungu, na hakuseme «in shāa Allāh» (Mungu Akitaka). Akawapitia wake zake wote, na hakuna hata mmoja katika wao aliyeshika mimba isipokuwa mmoja aliyezaa mtoto nusu. Kisha Sulaymān alirudi kwa Mola Wake, akatubia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek