×

Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa 38:72 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:72) ayat 72 in Swahili

38:72 Surah sad ayat 72 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 72 - صٓ - Page - Juz 23

﴿فَإِذَا سَوَّيۡتُهُۥ وَنَفَخۡتُ فِيهِ مِن رُّوحِي فَقَعُواْ لَهُۥ سَٰجِدِينَ ﴾
[صٓ: 72]

Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فإذا سويته ونفخت فيه من روحي فقعوا له ساجدين, باللغة السواحيلية

﴿فإذا سويته ونفخت فيه من روحي فقعوا له ساجدين﴾ [صٓ: 72]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi nitakapousawazisha mwili wake na umbo lake na nikapuliza roho ndani yake na uhai ukatambaa humo, msujudieni» sijida ya heshima na kukirimu, na siyo sijida ya ibada na kutukuza. Kwani ibada haiwi isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake. Na Mwenyezi Mungu Ameharamisha, katika Sheria ya Kiislamu, kusujudu kwa njia ya maamkizi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek