×

Na anaye muasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na akaipindukia mipaka yake, 4:14 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:14) ayat 14 in Swahili

4:14 Surah An-Nisa’ ayat 14 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 14 - النِّسَاء - Page - Juz 4

﴿وَمَن يَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ وَيَتَعَدَّ حُدُودَهُۥ يُدۡخِلۡهُ نَارًا خَٰلِدٗا فِيهَا وَلَهُۥ عَذَابٞ مُّهِينٞ ﴾
[النِّسَاء: 14]

Na anaye muasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na akaipindukia mipaka yake, (Mwenyezi Mungu) atamtia Motoni adumu humo, na atapata adhabu ya kudhalilisha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن يعص الله ورسوله ويتعد حدوده يدخله نارا خالدا فيها وله عذاب, باللغة السواحيلية

﴿ومن يعص الله ورسوله ويتعد حدوده يدخله نارا خالدا فيها وله عذاب﴾ [النِّسَاء: 14]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume Wake , kwa kuzikanusha hukumu za Mwenyezi Mungu na kuzikiuka Sheria Zake kwa waja Wake, kwa kuzibadilisha au kuacha kuzitumia, huyo Atamuingiza Motoni, adumu humo; na atapata adhabu ya kumtweza na kumfanya mnyonge
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek