×

Na yupo kati yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni msiba husema: Mwenyezi 4:72 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:72) ayat 72 in Swahili

4:72 Surah An-Nisa’ ayat 72 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 72 - النِّسَاء - Page - Juz 5

﴿وَإِنَّ مِنكُمۡ لَمَن لَّيُبَطِّئَنَّ فَإِنۡ أَصَٰبَتۡكُم مُّصِيبَةٞ قَالَ قَدۡ أَنۡعَمَ ٱللَّهُ عَلَيَّ إِذۡ لَمۡ أَكُن مَّعَهُمۡ شَهِيدٗا ﴾
[النِّسَاء: 72]

Na yupo kati yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni msiba husema: Mwenyezi Mungu kanifanyia kheri sikuwa nao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن منكم لمن ليبطئن فإن أصابتكم مصيبة قال قد أنعم الله علي, باللغة السواحيلية

﴿وإن منكم لمن ليبطئن فإن أصابتكم مصيبة قال قد أنعم الله علي﴾ [النِّسَاء: 72]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika miongoni mwenu kuna watu wenye kujichelewesha kutoka kuenda kupambana na maadui kwa kuona uzito kufanya hivyo, na kufanya bidii kuwavunja moyo wengine kwa kusudi. Itokeapo mkapatikana kuuawa na kushindwa, huwa wakisema kwa furaha, «Mwenyezi Mungu Ametulinda kwa kutokuwako na wale waliopatikana na mambo ambayo nafsi zetu zinayachukia.» Na hilo la kutokuwa na nyinyi huwa likiwafurahisha
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek