×

Siku ambayo hautawafaa madhaalimu udhuru wao, nao watapata laana, na watapata makaazi 40:52 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ghafir ⮕ (40:52) ayat 52 in Swahili

40:52 Surah Ghafir ayat 52 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ghafir ayat 52 - غَافِر - Page - Juz 24

﴿يَوۡمَ لَا يَنفَعُ ٱلظَّٰلِمِينَ مَعۡذِرَتُهُمۡۖ وَلَهُمُ ٱللَّعۡنَةُ وَلَهُمۡ سُوٓءُ ٱلدَّارِ ﴾
[غَافِر: 52]

Siku ambayo hautawafaa madhaalimu udhuru wao, nao watapata laana, na watapata makaazi mabaya kabisa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يوم لا ينفع الظالمين معذرتهم ولهم اللعنة ولهم سوء الدار, باللغة السواحيلية

﴿يوم لا ينفع الظالمين معذرتهم ولهم اللعنة ولهم سوء الدار﴾ [غَافِر: 52]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Siku ya kuhesabiwa, hawatanufaika makafiri waliokiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu kwa zile nyudhuru wanazozitoa za kuwakanusha Mitume wa Mwenyezi Mungu. Watakalolipata ni kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu, na watakuwa na Nyumba mbaya huko Akhera, nayo ni Moto
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek