×

Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo 41:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Fussilat ⮕ (41:8) ayat 8 in Swahili

41:8 Surah Fussilat ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Fussilat ayat 8 - فُصِّلَت - Page - Juz 24

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمۡ أَجۡرٌ غَيۡرُ مَمۡنُونٖ ﴾
[فُصِّلَت: 8]

Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين آمنوا وعملوا الصالحات لهم أجر غير ممنون, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين آمنوا وعملوا الصالحات لهم أجر غير ممنون﴾ [فُصِّلَت: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika ya wale wanaomuamini Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na Kitabu Chake na wakafanya matendo mema, hali ya kumtakasia Mwenyezi Mungu katika matendo hayo, watapata malipo makubwa yasiyokatika wala kuzuiliwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek