×

Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla 44:37 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ad-Dukhan ⮕ (44:37) ayat 37 in Swahili

44:37 Surah Ad-Dukhan ayat 37 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ad-Dukhan ayat 37 - الدُّخان - Page - Juz 25

﴿أَهُمۡ خَيۡرٌ أَمۡ قَوۡمُ تُبَّعٖ وَٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ أَهۡلَكۡنَٰهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ مُجۡرِمِينَ ﴾
[الدُّخان: 37]

Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أهم خير أم قوم تبع والذين من قبلهم أهلكناهم إنهم كانوا مجرمين, باللغة السواحيلية

﴿أهم خير أم قوم تبع والذين من قبلهم أهلكناهم إنهم كانوا مجرمين﴾ [الدُّخان: 37]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, hawa washirikina ni bora au watu wa Tubba’ wa Himyar na wale waliokuwa kabla yao miongoni mwa ummah waliomkanusha Mola wao? Tuliwaangamiza kwa uhalifu wao na kukanusha kwao. Hawa washirikina si bora kuliko hao ili tuwasamehe na tusiwaangamize, na hali wao wanamkanusha Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek