×

Hakika walio sema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu; kisha wakatengenea, hawatakuwa 46:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahqaf ⮕ (46:13) ayat 13 in Swahili

46:13 Surah Al-Ahqaf ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahqaf ayat 13 - الأحقَاف - Page - Juz 26

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ قَالُواْ رَبُّنَا ٱللَّهُ ثُمَّ ٱسۡتَقَٰمُواْ فَلَا خَوۡفٌ عَلَيۡهِمۡ وَلَا هُمۡ يَحۡزَنُونَ ﴾
[الأحقَاف: 13]

Hakika walio sema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu; kisha wakatengenea, hawatakuwa na khofu, wala hawatahuzunika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين قالوا ربنا الله ثم استقاموا فلا خوف عليهم ولا هم, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين قالوا ربنا الله ثم استقاموا فلا خوف عليهم ولا هم﴾ [الأحقَاف: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale waliosema, “Mola wetu ni Mwenyezi Mungu” kisha wakalingana sawa katika kumuamini, basi hao hawatakuwa na khofu ya babaiko la Siku ya Kiyama na vituko vyake, wala hawatasikitka juu ya hadhi za duniani walizoziacha nyuma yao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek