×

Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao 47:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:1) ayat 1 in Swahili

47:1 Surah Muhammad ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 1 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَصَدُّواْ عَن سَبِيلِ ٱللَّهِ أَضَلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ ﴾
[مُحمد: 1]

Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الذين كفروا وصدوا عن سبيل الله أضل أعمالهم, باللغة السواحيلية

﴿الذين كفروا وصدوا عن سبيل الله أضل أعمالهم﴾ [مُحمد: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wale waliokataa kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Peke Yake Mungu wa kweli Asiye na mshirika, na wakawazuia watu na Dini Yake, Mwenyezi Mungu Atazifuta amali zao na kuzipomosha na Atawapa usumbufu kwa sababu ya amali zao hizo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek