×

Ut'iifu na kauli njema. Na jambo likisha azimiwa, basi wakiwa ni wakweli 47:21 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:21) ayat 21 in Swahili

47:21 Surah Muhammad ayat 21 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 21 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿طَاعَةٞ وَقَوۡلٞ مَّعۡرُوفٞۚ فَإِذَا عَزَمَ ٱلۡأَمۡرُ فَلَوۡ صَدَقُواْ ٱللَّهَ لَكَانَ خَيۡرٗا لَّهُمۡ ﴾
[مُحمد: 21]

Ut'iifu na kauli njema. Na jambo likisha azimiwa, basi wakiwa ni wakweli kwa Mwenyezi Mungu, bila ya shaka itakuwa ni kheri kwao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: طاعة وقول معروف فإذا عزم الأمر فلو صدقوا الله لكان خيرا لهم, باللغة السواحيلية

﴿طاعة وقول معروف فإذا عزم الأمر فلو صدقوا الله لكان خيرا لهم﴾ [مُحمد: 21]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi lililo bora kwa hawa ambao ndani ya nyoyo zao mna maradhi wamtii Mwenyezi Mungu na wasema neno linaoafikiana na Sheria. Vita vinapopasa na ikaja amri ya Mwenyezi Mungu kuilazimisha, hawa wanafiki wanachukia hilo. Na lau wao wangalikuwa wakweli kwa Mwenyezi Mungu katika kuamini na kutenda mema, hilo lingalikuwa bora kwao kuliko kufanya maasia na kuenda kinyume
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek