×

Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani 5:47 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ma’idah ⮕ (5:47) ayat 47 in Swahili

5:47 Surah Al-Ma’idah ayat 47 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ma’idah ayat 47 - المَائدة - Page - Juz 6

﴿وَلۡيَحۡكُمۡ أَهۡلُ ٱلۡإِنجِيلِ بِمَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ فِيهِۚ وَمَن لَّمۡ يَحۡكُم بِمَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡفَٰسِقُونَ ﴾
[المَائدة: 47]

Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وليحكم أهل الإنجيل بما أنـزل الله فيه ومن لم يحكم بما أنـزل, باللغة السواحيلية

﴿وليحكم أهل الإنجيل بما أنـزل الله فيه ومن لم يحكم بما أنـزل﴾ [المَائدة: 47]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi na wahukumu watu wa Injili, ambao alitumwa kwao Īsā, kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wale ambao hawakuhukumu kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu, Basi hao ndio wenye kutoka kwenye amri Yake, wenye kumuasi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek