×

Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo 5:79 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ma’idah ⮕ (5:79) ayat 79 in Swahili

5:79 Surah Al-Ma’idah ayat 79 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ma’idah ayat 79 - المَائدة - Page - Juz 6

﴿كَانُواْ لَا يَتَنَاهَوۡنَ عَن مُّنكَرٖ فَعَلُوهُۚ لَبِئۡسَ مَا كَانُواْ يَفۡعَلُونَ ﴾
[المَائدة: 79]

Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo kuwa wakiyafanya

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كانوا لا يتناهون عن منكر فعلوه لبئس ما كانوا يفعلون, باللغة السواحيلية

﴿كانوا لا يتناهون عن منكر فعلوه لبئس ما كانوا يفعلون﴾ [المَائدة: 79]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Walikuwa, Mayahudi hawa, wakiyafanya maasia waziwazi, wakiridhika nayo na hawakuwa wakikatazana wao kwa wao maovu yoyote waliyoyafanya. Na hili ni katika vitendo vyao viovu. Na kwa hilo walistahiki kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek