×

Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha 51:50 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Adh-Dhariyat ⮕ (51:50) ayat 50 in Swahili

51:50 Surah Adh-Dhariyat ayat 50 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Adh-Dhariyat ayat 50 - الذَّاريَات - Page - Juz 27

﴿فَفِرُّوٓاْ إِلَى ٱللَّهِۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٞ مُّبِينٞ ﴾
[الذَّاريَات: 50]

Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ففروا إلى الله إني لكم منه نذير مبين, باللغة السواحيلية

﴿ففروا إلى الله إني لكم منه نذير مبين﴾ [الذَّاريَات: 50]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi kimbieni, enyi watu , kutoka kwenye mateso ya Mwenyezi Mungu na muelekee kwenye rehema Yake kwa kumuamini Yeye na Mtume Wake, kufuata amri Yake na kufanya mambo ya utiifu Kwake. Hakika mimi, kwenu nyinyi, ni muonyaji ambaye maonyo yake yako waziwazi. Na Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, alikuwa akizungukwa na mambo hukimbilia Swala, na huku ndiko kumkimbilia Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek