×

Anaingiza usiku katika mchana, na anaingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni 57:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hadid ⮕ (57:6) ayat 6 in Swahili

57:6 Surah Al-hadid ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hadid ayat 6 - الحدِيد - Page - Juz 27

﴿يُولِجُ ٱلَّيۡلَ فِي ٱلنَّهَارِ وَيُولِجُ ٱلنَّهَارَ فِي ٱلَّيۡلِۚ وَهُوَ عَلِيمُۢ بِذَاتِ ٱلصُّدُورِ ﴾
[الحدِيد: 6]

Anaingiza usiku katika mchana, na anaingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni Mwenye kuyajua yaliomo vifuani

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يولج الليل في النهار ويولج النهار في الليل وهو عليم بذات الصدور, باللغة السواحيلية

﴿يولج الليل في النهار ويولج النهار في الليل وهو عليم بذات الصدور﴾ [الحدِيد: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Anazitia saa za usiku zilizopungua ndani ya mchana na hivyo basi mchana ukaongezeka, na Anazitia saa za mchana ndani ya usiku, na hivyo basi usiku ukaongezeka. Na Yeye , kutakasika ni Kwake, ni Mjuzi wa yaliyomo ndani ya vifua vya viumbe Vyake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek