×

Hakika wanao kubali ni wale wanao sikia. Na ama wafu Mwenyezi Mungu 6:36 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:36) ayat 36 in Swahili

6:36 Surah Al-An‘am ayat 36 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 36 - الأنعَام - Page - Juz 7

﴿۞ إِنَّمَا يَسۡتَجِيبُ ٱلَّذِينَ يَسۡمَعُونَۘ وَٱلۡمَوۡتَىٰ يَبۡعَثُهُمُ ٱللَّهُ ثُمَّ إِلَيۡهِ يُرۡجَعُونَ ﴾
[الأنعَام: 36]

Hakika wanao kubali ni wale wanao sikia. Na ama wafu Mwenyezi Mungu atawafufua, na kisha kwake Yeye ndio watarejeshwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إنما يستجيب الذين يسمعون والموتى يبعثهم الله ثم إليه يرجعون, باللغة السواحيلية

﴿إنما يستجيب الذين يسمعون والموتى يبعثهم الله ثم إليه يرجعون﴾ [الأنعَام: 36]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale wanaokukubali wewe, ewe Mtume, kwa yale unayoyalingania ya uongofu ni wale ambao wanayasikia maneno kwa kuyakubali. Ama makafiri, wao wamo kwenye hesabu ya wafu. Kwani uhai wa kikweli unakuwa kwa Uislamu. Na wafu, Mwenyezi Mungu Atawatoa kutoka kwenye makaburi yao wakiwa hai. Kisha watarudi Kwake Siku ya Kiyama ili watimiziwe hesabu yao na malipo yao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek