×

Na wamesema: Kwa nini hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: 6:37 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:37) ayat 37 in Swahili

6:37 Surah Al-An‘am ayat 37 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 37 - الأنعَام - Page - Juz 7

﴿وَقَالُواْ لَوۡلَا نُزِّلَ عَلَيۡهِ ءَايَةٞ مِّن رَّبِّهِۦۚ قُلۡ إِنَّ ٱللَّهَ قَادِرٌ عَلَىٰٓ أَن يُنَزِّلَ ءَايَةٗ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ ﴾
[الأنعَام: 37]

Na wamesema: Kwa nini hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kuteremsha muujiza. Lakini wengi wao hawajui

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقالوا لولا نـزل عليه آية من ربه قل إن الله قادر على, باللغة السواحيلية

﴿وقالوا لولا نـزل عليه آية من ربه قل إن الله قادر على﴾ [الأنعَام: 37]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na washirikina walisema, kwa ujeuri na kiburi, «Kwa nini Mwenyezi Mungu Hateremshi alama iyoneshayo ukweli wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, miongoni mwa alama za kimiujiza.» Waambie, ewe Mtume, «Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwateremshia miujiza, lakini wengi wao hawajui kwamba kuteremsha miujiza kunakuwa kulingana na hekima Yake, Aliyetukuka.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek