×

Ikakatwa mizizi ya watu walio dhulumu - na wa kuhimidiwa ni Mwenyezi 6:45 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:45) ayat 45 in Swahili

6:45 Surah Al-An‘am ayat 45 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 45 - الأنعَام - Page - Juz 7

﴿فَقُطِعَ دَابِرُ ٱلۡقَوۡمِ ٱلَّذِينَ ظَلَمُواْۚ وَٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[الأنعَام: 45]

Ikakatwa mizizi ya watu walio dhulumu - na wa kuhimidiwa ni Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فقطع دابر القوم الذين ظلموا والحمد لله رب العالمين, باللغة السواحيلية

﴿فقطع دابر القوم الذين ظلموا والحمد لله رب العالمين﴾ [الأنعَام: 45]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Watu hawa walimalizwa na kuangamizwa walipomkanusha Mwenyezi Mungu na kumkanusha Mtume Wake; hakuna yoyote aliyesalia kati yao. Shukrani na sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Muumba na Mwenye kumiliki kila kitu, kwa kuwapa ushindi mawalii Wake na kuwaangamiza maadui Zake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek