×

Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu 62:4 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Jumu‘ah ⮕ (62:4) ayat 4 in Swahili

62:4 Surah Al-Jumu‘ah ayat 4 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Jumu‘ah ayat 4 - الجُمعَة - Page - Juz 28

﴿ذَٰلِكَ فَضۡلُ ٱللَّهِ يُؤۡتِيهِ مَن يَشَآءُۚ وَٱللَّهُ ذُو ٱلۡفَضۡلِ ٱلۡعَظِيمِ ﴾
[الجُمعَة: 4]

Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك فضل الله يؤتيه من يشاء والله ذو الفضل العظيم, باللغة السواحيلية

﴿ذلك فضل الله يؤتيه من يشاء والله ذو الفضل العظيم﴾ [الجُمعَة: 4]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kutumilizwa huko kwa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwa ummah wa Kiarabu na wasiokuwa wao, ni wema kutoka kwa Mwenyezi Mungu humpa Anayemtaka miongoni mwa waja Wake. Na Yeye, Peke Yake, Ndiye Mwenye wema na upaji mwingi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek