×

Akasema: Enyi watu wangu! Mimi simo katika upotofu, lakini mimi ni Mtume 7:61 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:61) ayat 61 in Swahili

7:61 Surah Al-A‘raf ayat 61 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 61 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿قَالَ يَٰقَوۡمِ لَيۡسَ بِي ضَلَٰلَةٞ وَلَٰكِنِّي رَسُولٞ مِّن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[الأعرَاف: 61]

Akasema: Enyi watu wangu! Mimi simo katika upotofu, lakini mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola Mlezi wa viumbe vyote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قال ياقوم ليس بي ضلالة ولكني رسول من رب العالمين, باللغة السواحيلية

﴿قال ياقوم ليس بي ضلالة ولكني رسول من رب العالمين﴾ [الأعرَاف: 61]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Nūḥ Akasema, «Enyi watu wangu, mimi si mpotevu katika jambo lolote kwa njia yoyote, lakini mimi ni mjumbe kutoka Mola wa viumbe wote; Mola wangu na Mola wenu na Mola wa viumbe wote
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek