×

Hakika vinyama viovu mbele ya Mwenyezi Mungu ni vile viziwi na bubu 8:22 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anfal ⮕ (8:22) ayat 22 in Swahili

8:22 Surah Al-Anfal ayat 22 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anfal ayat 22 - الأنفَال - Page - Juz 9

﴿۞ إِنَّ شَرَّ ٱلدَّوَآبِّ عِندَ ٱللَّهِ ٱلصُّمُّ ٱلۡبُكۡمُ ٱلَّذِينَ لَا يَعۡقِلُونَ ﴾
[الأنفَال: 22]

Hakika vinyama viovu mbele ya Mwenyezi Mungu ni vile viziwi na bubu visio tumia akili zao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن شر الدواب عند الله الصم البكم الذين لا يعقلون, باللغة السواحيلية

﴿إن شر الدواب عند الله الصم البكم الذين لا يعقلون﴾ [الأنفَال: 22]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika waovu zaidi wa wanaotembea kwenye ardhi, miongoni mwa viumbe vya Mwenyezi Mungu, mbele ya Mwenyezi Mungu ni viziwi ambao masikio yao yamezibana kutoisikia haki wakawa hawasikii, mabubu ambao ndimi zao zimeshikwa kutoitamka haki wakawa hawatamki. Hawa ndio wale wasioelewa maamrisho na makatazo yanayotoka kwa Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek