×

Wanajadiliana nawe kwa jambo la Haki baada ya kwisha bainika, kama kwamba 8:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anfal ⮕ (8:6) ayat 6 in Swahili

8:6 Surah Al-Anfal ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anfal ayat 6 - الأنفَال - Page - Juz 9

﴿يُجَٰدِلُونَكَ فِي ٱلۡحَقِّ بَعۡدَ مَا تَبَيَّنَ كَأَنَّمَا يُسَاقُونَ إِلَى ٱلۡمَوۡتِ وَهُمۡ يَنظُرُونَ ﴾
[الأنفَال: 6]

Wanajadiliana nawe kwa jambo la Haki baada ya kwisha bainika, kama kwamba wanasukumwa kwenye mauti nao wanaona

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يجادلونك في الحق بعد ما تبين كأنما يساقون إلى الموت وهم ينظرون, باللغة السواحيلية

﴿يجادلونك في الحق بعد ما تبين كأنما يساقون إلى الموت وهم ينظرون﴾ [الأنفَال: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Likawa linabishana na wewe, ewe Nabii, kundi hilo la Waumini kuhusu kupigana baada ya kuonekana wazi kwamba hilo ni lenye kutukia, wakawa kama kwamba wao wanaongozwa kupelekwa kwenye kifo na hali wakikitazama waziwazi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek