Quran with Swahili translation - Surah Al-hijr ayat 56 - الحِجر - Page - Juz 14
﴿قَالَ وَمَن يَقۡنَطُ مِن رَّحۡمَةِ رَبِّهِۦٓ إِلَّا ٱلضَّآلُّونَ ﴾
[الحِجر: 56]
﴿قال ومن يقنط من رحمة ربه إلا الضالون﴾ [الحِجر: 56]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Ibrāhīm akasema, «Hakika hawakati tamaa na rehema za Mola wao isipokuwa walio na makosa waliojitenga na njia ya haki.» |