×

Hayo ni kwa sababu wameyapenda zaidi maisha ya duniani kuliko ya Akhera, 16:107 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:107) ayat 107 in Swahili

16:107 Surah An-Nahl ayat 107 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 107 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمُ ٱسۡتَحَبُّواْ ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا عَلَى ٱلۡأٓخِرَةِ وَأَنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلۡكَٰفِرِينَ ﴾
[النَّحل: 107]

Hayo ni kwa sababu wameyapenda zaidi maisha ya duniani kuliko ya Akhera, na kwa sababu Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك بأنهم استحبوا الحياة الدنيا على الآخرة وأن الله لا يهدي القوم, باللغة السواحيلية

﴿ذلك بأنهم استحبوا الحياة الدنيا على الآخرة وأن الله لا يهدي القوم﴾ [النَّحل: 107]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hiyo ni kwa sababu ya kuchagua kwao dunia na pambo lake na kuifanya kwao hiyo dunia kuwa ni bora kuliko Akhera na malipo yake na kwamba Mwenyezi Mungu Hawaongozi makafiri wala hawaelekezi kwenye haki na usawa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek