×

Na subiri. Na kusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Mwenyezi Mungu 16:127 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:127) ayat 127 in Swahili

16:127 Surah An-Nahl ayat 127 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 127 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿وَٱصۡبِرۡ وَمَا صَبۡرُكَ إِلَّا بِٱللَّهِۚ وَلَا تَحۡزَنۡ عَلَيۡهِمۡ وَلَا تَكُ فِي ضَيۡقٖ مِّمَّا يَمۡكُرُونَ ﴾
[النَّحل: 127]

Na subiri. Na kusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Mwenyezi Mungu tu. Wala usiwahuzunikie; wala usiwe katika dhiki kwa hila wanazo zifanya

❮ Previous Next ❯

ترجمة: واصبر وما صبرك إلا بالله ولا تحزن عليهم ولا تك في ضيق, باللغة السواحيلية

﴿واصبر وما صبرك إلا بالله ولا تحزن عليهم ولا تك في ضيق﴾ [النَّحل: 127]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na vumilia, ewe Mtume, kwa maudhi yanayokupata katika njia ya Mwenyezi Mungu mpaka ikujie faraji, na hakukuwa huku kuvumilia kwako isipokuwa ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, kwani Yeye Ndiye mwenye kukusaidia na kukupa uthabiti, na usisikitike juu ya wale wanaoenda kinyume na wewe na wasiitikie ulinganizi wako, wala usiwe na usijitie dhiki za moyo kutokana na hila zao na vitimbi vyao, kwani hilo litawarudia wao wenyewe kwa shari na mateso
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek