×

Au hatawashika katika nyendo zao, na wala hawataponyoka 16:46 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:46) ayat 46 in Swahili

16:46 Surah An-Nahl ayat 46 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 46 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿أَوۡ يَأۡخُذَهُمۡ فِي تَقَلُّبِهِمۡ فَمَا هُم بِمُعۡجِزِينَ ﴾
[النَّحل: 46]

Au hatawashika katika nyendo zao, na wala hawataponyoka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أو يأخذهم في تقلبهم فما هم بمعجزين, باللغة السواحيلية

﴿أو يأخذهم في تقلبهم فما هم بمعجزين﴾ [النَّحل: 46]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
au adhabu haitawapata hali wakiwa wanazunguka kwenye safari zao na shughuli zao? Wao si wenye kumtangulia Mwenyezi Mungu wala kumponyoka wala kuokoka na adhabu Yake, kwani Yeye Ndiye Mwenye nguvu Ambaye hakuna chenye kumuelemea
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek