×

Na mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani mwanaadamu ni mwenye 17:11 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Isra’ ⮕ (17:11) ayat 11 in Swahili

17:11 Surah Al-Isra’ ayat 11 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Isra’ ayat 11 - الإسرَاء - Page - Juz 15

﴿وَيَدۡعُ ٱلۡإِنسَٰنُ بِٱلشَّرِّ دُعَآءَهُۥ بِٱلۡخَيۡرِۖ وَكَانَ ٱلۡإِنسَٰنُ عَجُولٗا ﴾
[الإسرَاء: 11]

Na mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani mwanaadamu ni mwenye pupa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويدع الإنسان بالشر دعاءه بالخير وكان الإنسان عجولا, باللغة السواحيلية

﴿ويدع الإنسان بالشر دعاءه بالخير وكان الإنسان عجولا﴾ [الإسرَاء: 11]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na binadamu wakati mwingine hujiapiza mabaya nafsi yake au mtoto wake au mali yake awapo na hasira kama vile anavyoomba mema. Hii ni kwa sababu ya ujinga wa mwanadamu na pupa lake. Na miongoni mwa rehema ya Mwenyezi Mungu kwake ni kwamba Yeye Anayakubali maombi yake mema na sio mabaya na kwamba Yeye anajua kuwa yeye hakukusudia kutaka hilo. Hakika binadamu ana tabia ya kuwa na pupa sana
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek