×

Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye 17:72 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Isra’ ⮕ (17:72) ayat 72 in Swahili

17:72 Surah Al-Isra’ ayat 72 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Isra’ ayat 72 - الإسرَاء - Page - Juz 15

﴿وَمَن كَانَ فِي هَٰذِهِۦٓ أَعۡمَىٰ فَهُوَ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ أَعۡمَىٰ وَأَضَلُّ سَبِيلٗا ﴾
[الإسرَاء: 72]

Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن كان في هذه أعمى فهو في الآخرة أعمى وأضل سبيلا, باللغة السواحيلية

﴿ومن كان في هذه أعمى فهو في الآخرة أعمى وأضل سبيلا﴾ [الإسرَاء: 72]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na aliyekuwa kipofu wa moyo, katika ulimwengu huu, wa kutoziona dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu, asiyaamini yale aliyokuja nayo Mtume Muhammad, rehema na amani zimshukiye, basi yeye, Siku ya Kiyama, atakuwa kipofu zaidi wa kutoiona njia ya Peponi na atapotea zaidi njia ya uongofu na usawa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek