×

Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake 18:83 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:83) ayat 83 in Swahili

18:83 Surah Al-Kahf ayat 83 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 83 - الكَهف - Page - Juz 16

﴿وَيَسۡـَٔلُونَكَ عَن ذِي ٱلۡقَرۡنَيۡنِۖ قُلۡ سَأَتۡلُواْ عَلَيۡكُم مِّنۡهُ ذِكۡرًا ﴾
[الكَهف: 83]

Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويسألونك عن ذي القرنين قل سأتلو عليكم منه ذكرا, باللغة السواحيلية

﴿ويسألونك عن ذي القرنين قل سأتلو عليكم منه ذكرا﴾ [الكَهف: 83]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na hawa washiriikina wa watu wako wanakuuliza, ewe Mtume, kuhusu habari ya Dhulqarnain, mfalme aliye mwema, waambie, «Nitawapa habari kuhusu yeye ya kuwaachia kumbukumbu mupate kuikumbuka na kuizingatia.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek