×

Watasikia na wataona vizuri vilioje Siku watakayo tufikia! Lakini madhaalimu sasa wamo 19:38 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Maryam ⮕ (19:38) ayat 38 in Swahili

19:38 Surah Maryam ayat 38 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Maryam ayat 38 - مَريَم - Page - Juz 16

﴿أَسۡمِعۡ بِهِمۡ وَأَبۡصِرۡ يَوۡمَ يَأۡتُونَنَا لَٰكِنِ ٱلظَّٰلِمُونَ ٱلۡيَوۡمَ فِي ضَلَٰلٖ مُّبِينٖ ﴾
[مَريَم: 38]

Watasikia na wataona vizuri vilioje Siku watakayo tufikia! Lakini madhaalimu sasa wamo katika upotofu ulio dhaahiri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أسمع بهم وأبصر يوم يأتوننا لكن الظالمون اليوم في ضلال مبين, باللغة السواحيلية

﴿أسمع بهم وأبصر يوم يأتوننا لكن الظالمون اليوم في ضلال مبين﴾ [مَريَم: 38]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ni makali yalioje yatakuwa masikizi yao na macho yao Siku ya Kiyama, siku watakayokuja kwa Mwenyezi Mungu , wakati ambapo hilo halitawafaa! Lakini madhalimu leo, katika dunia hii, wametoka nje ya haki waziwazi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek