×

Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, 19:39 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Maryam ⮕ (19:39) ayat 39 in Swahili

19:39 Surah Maryam ayat 39 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Maryam ayat 39 - مَريَم - Page - Juz 16

﴿وَأَنذِرۡهُمۡ يَوۡمَ ٱلۡحَسۡرَةِ إِذۡ قُضِيَ ٱلۡأَمۡرُ وَهُمۡ فِي غَفۡلَةٖ وَهُمۡ لَا يُؤۡمِنُونَ ﴾
[مَريَم: 39]

Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وأنذرهم يوم الحسرة إذ قضي الأمر وهم في غفلة وهم لا يؤمنون, باللغة السواحيلية

﴿وأنذرهم يوم الحسرة إذ قضي الأمر وهم في غفلة وهم لا يؤمنون﴾ [مَريَم: 39]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na uwaonye watu, ewe Mtume, Siku ya Majuto, wakati wa hukumu kutolewa, na mauti yaletwe kama kwamba ni kondoo mzuri, achinjwe hapo na na uamuzi utolewe baina ya viumbe, na hapo watu wa Imani waende Peponi na watu wa ukafiri waende Motoni, na hali wao leo katika dunia hii wameghafilika na yale ambayo walionywa nayo, hivyo basi hawaamini wala hawafanyi matendo mema
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek