×

Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake 2:130 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:130) ayat 130 in Swahili

2:130 Surah Al-Baqarah ayat 130 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 130 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿وَمَن يَرۡغَبُ عَن مِّلَّةِ إِبۡرَٰهِـۧمَ إِلَّا مَن سَفِهَ نَفۡسَهُۥۚ وَلَقَدِ ٱصۡطَفَيۡنَٰهُ فِي ٱلدُّنۡيَاۖ وَإِنَّهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ لَمِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ ﴾
[البَقَرَة: 130]

Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini Sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن يرغب عن ملة إبراهيم إلا من سفه نفسه ولقد اصطفيناه في, باللغة السواحيلية

﴿ومن يرغب عن ملة إبراهيم إلا من سفه نفسه ولقد اصطفيناه في﴾ [البَقَرَة: 130]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakuna yoyote anayeipa mgongo Dini ya Ibrahim, nayo ni Uislamu, isipokuwa safihi aliye mjinga. Na hakika tulimchagua Ibrahim duniani kuwa Nabii na Mtume, na kesho Akhera kuwa ni miongoni mwa watu wema ambao wana daraja za juu kabisa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek