×

Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia 2:204 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:204) ayat 204 in Swahili

2:204 Surah Al-Baqarah ayat 204 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 204 - البَقَرَة - Page - Juz 2

﴿وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُعۡجِبُكَ قَوۡلُهُۥ فِي ٱلۡحَيَوٰةِ ٱلدُّنۡيَا وَيُشۡهِدُ ٱللَّهَ عَلَىٰ مَا فِي قَلۡبِهِۦ وَهُوَ أَلَدُّ ٱلۡخِصَامِ ﴾
[البَقَرَة: 204]

Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia hukufurahisha; naye humshuhudisha Mwenyezi Mungu kwa yaliyomo moyoni mwake, na hali yeye ndiye mkubwa wa ukhasimu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن الناس من يعجبك قوله في الحياة الدنيا ويشهد الله على ما, باللغة السواحيلية

﴿ومن الناس من يعجبك قوله في الحياة الدنيا ويشهد الله على ما﴾ [البَقَرَة: 204]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na baadhi ya watu miongoni mwa wanafiki yanakuvutia, ewe Mtume, maneno yake yaliyo fasaha ambayo kwayo anataka fungu la hadhi za duniani, si za Akhera, na anaapa huku akimshuhudisha Mwenyezi Mungu yaliyo moyoni mwake ya kuupenda Uislamu, hali ya kuwa yeye ana uadui na utesi mkubwa juu ya Uislamu na Waislamu. Huo ni upeo wa ujasiri juu ya Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek