×

Naam, anaye chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio 2:81 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:81) ayat 81 in Swahili

2:81 Surah Al-Baqarah ayat 81 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 81 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿بَلَىٰۚ مَن كَسَبَ سَيِّئَةٗ وَأَحَٰطَتۡ بِهِۦ خَطِيٓـَٔتُهُۥ فَأُوْلَٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلنَّارِۖ هُمۡ فِيهَا خَٰلِدُونَ ﴾
[البَقَرَة: 81]

Naam, anaye chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio watu wa Motoni; humo watadumu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: بلى من كسب سيئة وأحاطت به خطيئته فأولئك أصحاب النار هم فيها, باللغة السواحيلية

﴿بلى من كسب سيئة وأحاطت به خطيئته فأولئك أصحاب النار هم فيها﴾ [البَقَرَة: 81]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hukumu ya Mwenyezi Mungu imethibiti kwamba mwenye kutenda makosa mpaka yakamtia ukafirini na madhambi yake yakamtawala yeye sehemu zake zote, na hali hii haiwi isipokuwa kwa mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, wote hao, washirikina na makafiri, ndio wenye kukaa Motoni makao ya milele yasiyokatika
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek