×

Lakini Shet'ani alimtia wasiwasi, akamwambia: Ewe Adam! Nikujuulishe mti wa kuishi milele 20:120 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:120) ayat 120 in Swahili

20:120 Surah Ta-Ha ayat 120 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 120 - طه - Page - Juz 16

﴿فَوَسۡوَسَ إِلَيۡهِ ٱلشَّيۡطَٰنُ قَالَ يَٰٓـَٔادَمُ هَلۡ أَدُلُّكَ عَلَىٰ شَجَرَةِ ٱلۡخُلۡدِ وَمُلۡكٖ لَّا يَبۡلَىٰ ﴾
[طه: 120]

Lakini Shet'ani alimtia wasiwasi, akamwambia: Ewe Adam! Nikujuulishe mti wa kuishi milele na ufalme usio koma

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فوسوس إليه الشيطان قال ياآدم هل أدلك على شجرة الخلد وملك لا, باللغة السواحيلية

﴿فوسوس إليه الشيطان قال ياآدم هل أدلك على شجرة الخلد وملك لا﴾ [طه: 120]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hapo Shetani akamshawishi Ādam na akamwambia, «Je, nikushauri kwa kukuonesha mti ambao lau utakula kutoka mti huo utakaa milele na hutakufa na utakuwa na ufalme usiokoma na usiokatika
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek