×

Sema: Mola wangu Mlezi! Hukumu kwa haki. Na Mola wetu Mlezi ni 21:112 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:112) ayat 112 in Swahili

21:112 Surah Al-Anbiya’ ayat 112 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 112 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿قَٰلَ رَبِّ ٱحۡكُم بِٱلۡحَقِّۗ وَرَبُّنَا ٱلرَّحۡمَٰنُ ٱلۡمُسۡتَعَانُ عَلَىٰ مَا تَصِفُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 112]

Sema: Mola wangu Mlezi! Hukumu kwa haki. Na Mola wetu Mlezi ni Mwingi wa Rehema, aombwaye msaada juu ya mnayo yazua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قال رب احكم ‎ بالحق وربنا الرحمن المستعان على ما تصفون, باللغة السواحيلية

﴿قال رب احكم ‎ بالحق وربنا الرحمن المستعان على ما تصفون﴾ [الأنبيَاء: 112]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Nabii, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye, akasema,» Mola wangu! Amua baina yetu na watu wetu walioukanusha Uamuzi wa haki, na tunamuomba Mola wetu Mwingi wa rehema, tunataka msaada Wake tuzibatilishe sifa mnazombandika, enyi makafiri, za ushirikina na ukanushaji na uzushi na juu ya maonyo mnayotuonya kuwa mtakuwa na nguvu na ushindi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek