×

Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi 21:29 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:29) ayat 29 in Swahili

21:29 Surah Al-Anbiya’ ayat 29 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 29 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿۞ وَمَن يَقُلۡ مِنۡهُمۡ إِنِّيٓ إِلَٰهٞ مِّن دُونِهِۦ فَذَٰلِكَ نَجۡزِيهِ جَهَنَّمَۚ كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلظَّٰلِمِينَ ﴾
[الأنبيَاء: 29]

Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo yake Jahannamu. Hivyo ndivyo tuwalipavyo wenye kudhulumu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن يقل منهم إني إله من دونه فذلك نجزيه جهنم كذلك نجزي, باللغة السواحيلية

﴿ومن يقل منهم إني إله من دونه فذلك نجزيه جهنم كذلك نجزي﴾ [الأنبيَاء: 29]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na yoyote miongoni mwa Malaika atakayedai kwamba yeye ni mungu pamoja na Mwenyezi Mungu, kwa kukadiria, basi malipo yake ni moto wa Jahanamu. Na mfano wa malipo hayo ndivyo tunavyomlipa kila dhalimu mshirikina
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek