×

Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, 21:33 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:33) ayat 33 in Swahili

21:33 Surah Al-Anbiya’ ayat 33 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 33 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿وَهُوَ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلَّيۡلَ وَٱلنَّهَارَ وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَۖ كُلّٞ فِي فَلَكٖ يَسۡبَحُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 33]

Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وهو الذي خلق الليل والنهار والشمس والقمر كل في فلك يسبحون, باللغة السواحيلية

﴿وهو الذي خلق الليل والنهار والشمس والقمر كل في فلك يسبحون﴾ [الأنبيَاء: 33]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mwenyezi Mungu , Aliyetukuka, Ndiye Aliyeumba usiku ili watu wapate kutulia, na mchana ili wapate kutafuta maisha. Na Ameumba jua, likiwa ni alama ya mchana, na mwezi, ukiwa ni alama ya usiku. Na kila kimojawapo ya hivyo viwili kina njia ya kupitia na kuogelea hakiendi kando nayo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek