×

Nasi hatukumjaalia mwanaadamu yeyote kabla yako kuwa na maisha ya milele. Basi 21:34 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:34) ayat 34 in Swahili

21:34 Surah Al-Anbiya’ ayat 34 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 34 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿وَمَا جَعَلۡنَا لِبَشَرٖ مِّن قَبۡلِكَ ٱلۡخُلۡدَۖ أَفَإِيْن مِّتَّ فَهُمُ ٱلۡخَٰلِدُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 34]

Nasi hatukumjaalia mwanaadamu yeyote kabla yako kuwa na maisha ya milele. Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وما جعلنا لبشر من قبلك الخلد أفإن مت فهم الخالدون, باللغة السواحيلية

﴿وما جعلنا لبشر من قبلك الخلد أفإن مت فهم الخالدون﴾ [الأنبيَاء: 34]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hatukumfanya mwadamu yoyote kabla yako, ewe Mtume, asalie duniani milele. Basi ufapo wewe, kwani wao wana matumaini ya kuishi daima baada yako? Hili haliwi. Katika aya hii pana dalili kwamba Al-Khadhir, amani imshukie, ameshakufa, kwa kuwa yeye ni mwanadamu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek