×

Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika 21:94 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:94) ayat 94 in Swahili

21:94 Surah Al-Anbiya’ ayat 94 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 94 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿فَمَن يَعۡمَلۡ مِنَ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَهُوَ مُؤۡمِنٞ فَلَا كُفۡرَانَ لِسَعۡيِهِۦ وَإِنَّا لَهُۥ كَٰتِبُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 94]

Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فمن يعمل من الصالحات وهو مؤمن فلا كفران لسعيه وإنا له كاتبون, باللغة السواحيلية

﴿فمن يعمل من الصالحات وهو مؤمن فلا كفران لسعيه وإنا له كاتبون﴾ [الأنبيَاء: 94]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi Mwenye kujilazimisha kumuamini Mwenyezi Mungu na Mitume Wake na akafanya awezayo ya matendo mema kwa kumtii Mwenyezi Mungu na kumuabudu. Kwani Mwenyezi Mungu Hayapotezi matendo Yake wala Hayabatilishi, bali Anayaongeza yote hayo mara nyingi, na atayakuta aliyoyatenda kwenye Kitabu chake siku atakayofufuliwa baada ya kufa kwake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek