×

Hakika nyinyi na hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni kuni 21:98 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:98) ayat 98 in Swahili

21:98 Surah Al-Anbiya’ ayat 98 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 98 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿إِنَّكُمۡ وَمَا تَعۡبُدُونَ مِن دُونِ ٱللَّهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ أَنتُمۡ لَهَا وَٰرِدُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 98]

Hakika nyinyi na hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni kuni za Jahannamu; huko mtaingia tu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إنكم وما تعبدون من دون الله حصب جهنم أنتم لها واردون, باللغة السواحيلية

﴿إنكم وما تعبدون من دون الله حصب جهنم أنتم لها واردون﴾ [الأنبيَاء: 98]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwa hakika, nyinyi, enyi makafiri, na vitu ambavyo mlikuwa mkiviabudu badala ya Mwenyezi Mungu, miongoni mwa masanamu, na wale walioridhia muwaabudu, kati ya majini na binadmu, ni viwashio vya moto wa Jahanamu na ni kuni zake, nyinyi na wao humo mtaingia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek