×

Na wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye Njia ya Msifiwa 22:24 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:24) ayat 24 in Swahili

22:24 Surah Al-hajj ayat 24 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 24 - الحج - Page - Juz 17

﴿وَهُدُوٓاْ إِلَى ٱلطَّيِّبِ مِنَ ٱلۡقَوۡلِ وَهُدُوٓاْ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡحَمِيدِ ﴾
[الحج: 24]

Na wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye Njia ya Msifiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وهدوا إلى الطيب من القول وهدوا إلى صراط الحميد, باللغة السواحيلية

﴿وهدوا إلى الطيب من القول وهدوا إلى صراط الحميد﴾ [الحج: 24]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwa hakika, Mwenyezi Mungu Aliwaongoza ulimwenguni kwenye neno zuri: tamshi la kumpwekesha Mwenyezi Mungu, kumshukuru na kumsifu, na huko Akhera wamshukuru Mwenyezi Mungu kwa mwisho mwema, kama vile Alivyowaongoza kabla ya hapo kufuata njia ya Uislamu inayosifiwa inayofikisha Peponi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek