×

Kisha wajisafishe taka zao, na waondoe nadhiri zao, na waizunguke Nyumba ya 22:29 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:29) ayat 29 in Swahili

22:29 Surah Al-hajj ayat 29 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 29 - الحج - Page - Juz 17

﴿ثُمَّ لۡيَقۡضُواْ تَفَثَهُمۡ وَلۡيُوفُواْ نُذُورَهُمۡ وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ ﴾
[الحج: 29]

Kisha wajisafishe taka zao, na waondoe nadhiri zao, na waizunguke Nyumba ya Kale

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ثم ليقضوا تفثهم وليوفوا نذورهم وليطوفوا بالبيت العتيق, باللغة السواحيلية

﴿ثم ليقضوا تفثهم وليوفوا نذورهم وليطوفوا بالبيت العتيق﴾ [الحج: 29]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kisha wale mahujaji wakamilishe matendo ya ibada yaliyosalia ya kujifungua na kutoka kwenye kifungo cha ibada yao ya Hija, nako ni kwa kuondoa uchafu uliokusanyika kwenye miili yao, kukata kucha zao na kunyoa nywele zao, na watekeleze yale waliyojilazimsha nafsi zao ya kuhiji na kufanya Umra na kuchinja wanyama wa tunu, na waitufu kwa kuizunguka Nyumba huru ya kale ambayo Mwenyezi Mungu Ameikomboa isitawaliwe kimabavu na watu wasioijali, nayo ni Alkaba
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek